Habari...
Software Support Tanzania Inapenda kuwajuza njia 8 Bora na Salama Zaidi Kwaajiri ya Kuipumzisha Kompyuta Yako.
Zifuatazo Hapo Chini Ni Njia 8 na Salama Za Kuzima Kompyuta Yako.
1. Zima computer kwa kutumia start menu
Hii ninjia rahisi sana nadhani kila mtumiaji wa computer atakua anaifahamu vizuri. Cha kufanya ni kubofya start key kisha bonyeza shutdown
.
.
2. Kutumia Alt + F4 button.
Bonyeza Alt + F4 kisha select shutdown. Sasa unachotakiwa ni kubonyeza OK ili kuzima computer yako.
Njia hii inafanya kazi katika vision zote za windows
3. Zima computer kwakutumia Run command.
Fungua Run program kwa kubonyeza Win key + R kwenye keyboard yako. Kisha andika shutdown /s kisha bonyeza Enter ilikuzima computer yako.,
4. Zima computer yako kupitia command prompt.
Bonyeza
win key kwenye keyboard yako kisha search CMD, ifungue. Kisha andika
kwenye command prompt shutdown /s kisha bonyeza enter, PC yako
itazimika.
5. Zima computer yako kwa kupitia slidetoshutdown.exe program.
Fungua Run program kwa kubonyeza Win key + R kwenye keyboard yako. Kisha andika slidetoshutdown.exe kisha bonyeza Enter ilikuzima computer yako.,
6. Zima computer kwa kutumia Win + X kwenye window 10.
Njia hii inafanya kazi kwenye window 10 tu. Bofya Win + X kisha select shut down ili kuzima window 10.
Kwenye windows 7 ukibofya Win + X utafungua window mobility center.
7. Zima computer kupitia lockscreen.
Lock screen ya computer yako kwa kubonyeza kwa pamoja Win + L kisha bonyeza shutdown icon, computer itazima.
8. Zima computer kwa kutumia shortcut icon.
8. Zima computer kwa kutumia shortcut icon.
Rightclick kwenye desktop kisha select New> Shortcut. Kisha andika command ifuatayo:- %windir%\system32\shutdown.exe -s -t 0 kisha bofya next ili kuendelea kisha andika jina la shortcut yako shutdown alafu bofya finish.
Utakapo bonyeza ili kufungua hii shortcut computer itazimika.
Mpaka hapo Utakuwa Umefanikisha Kuzima Kompyuta Yako Kwa Njia Zilizokuwa Salama.
Kwa Msaada/Ushauri Wowote Kuhusu Vifaa Vya Kielektroniki Wasiliana na Software Support Tanzania.
Kwa mawasiliano Zaidi aanasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Softwaresupporttanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/
Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Kwa Msaada/Ushauri Wowote Kuhusu Vifaa Vya Kielektroniki Wasiliana na Software Support Tanzania.
ili Kuwa Wa Kwanza Kupata Masomo Yetu
Download App Yetu Playstore hapa Chini
Download App Yetu Playstore hapa Chini
Jiunge na WhatsApp group letu hapa
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
Kwa mawasiliano Zaidi aanasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Softwaresupporttanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/
Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.
