Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Test link

JINSI YA KU FLASH SIMU ZA ANDROID ZENYE PROCESSOR YA MTK

Habari...

Software Support Tanzania  tunapenda kutoa masomo mbalimbali yanayohusiana na teknolojia za simu na computer na leo tunapenda kujulisha wafuatiliaji wetu kuhusu jinsi unaweza kuflash Simu Zenye Processor Ya Za Mtk.

Kama Tecno,Alcate One Touch, Micromax,ZT,Huawei Y320-Y511,Y540,Y600.Infinix,Vodafone. n.k

MUHIMU
  1. Kuwa makini kwenye kila hatua.
  2. Kutumia firmware ya simu husiku kabla ya kuflash.
  3. Software Support Tanzania hatutohusika kwa uzembe wowote ule na uharibifu wowote.
MAHITAJI.
  • Kompyuta
  • Orginal USB cable
Kama tulivyosema unahitajika umakini katika kila hatua.

HATUA
1.Fungua SP Flash Tool kisha bonyeza kwenye Scatter-loading ndani ya  Flash Tool kisha chagua Scatter file ya simu husika ulilolidownload.
Kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini



2: Install MTK USB Driver Kwenye Kompyuta Yako Au (Ruka Hatua hii Kama Ulisha install).
Chagua Firmware Upgrade or Download option Ndani Ya  Flash Tool Kisha Bonyeza Kwenye Download button. Kisha Zima Simu Yako na Uchomeke Kwenye Kompyuta Kwa Kutumia  USB Cable.

Kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini




3. Utaratibu wa Ku-flashing Utaanza Sasa Na Kusubiri Mpaka Ku-Flash Kumalize. Inaweza Kuchukua Dakika 5-10 Kwa Kakati Huo Usiondoe Kifaa Chako Kutoka Kwenye Kompyuta. Baada Ya kufanyika Utaona Wa Ujumbe Huu Download OK message.

Kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini




Mpaka hapo Utakuwa Umefanikiwa Ku-Flash Simu na nakwendelea Kuitumia Upya Kama hapo Awali.

FAHAMU:

  • KuFlash Simu itakusaidia kurudisha Operating Sysytem iliyokufa Kwenye Simu Yako.
  • Kwenye Ku-Flash Simu Database Yote Ya Vitu Vyako Vitaondolewa Kama ( Vitabu, Application, Muziki, Video, Picha)
Hivyo Inshauriwa Kuchukua Tahadhari Ya Usalama  Wa Vitu Vyako Kwa Kufanya Backup Kabla Ya kuanza Zoezi ili. Hii Itasaidia Kurejesha Database Baada Ya Kuflash Kifaa Chako.
ili Kuwa WaKwanza Kupata Masomo Yetu
Download App Yetu hapa Chini
http://www.mediafire.com/file/66js1vkjolpg68s/Software+Support+Tz.apk

Jiunge na WhatsApp  group letu hapa
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.

Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA

Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia

Facebook Page: Software support Tanzania

Instagram: Softwaresupporttanzania

Email: softwarestanzania@gmail.com

BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/

Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania

Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.

 

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...