Habari...
Software Support Tanzania Inapenda kuwajuza ni Jinsi Gani Unaweza kufanya restoring Ya Komputer yako ,uwenda ulikuwa unajiuliza maswali mengi juu kutaka kufanya factory reset kwenye Kompyuta.Uwenda ulikuwa unatafuta volume button’s ufanye hivyo ikashindika. Hivyo Kuwa na Software Support Tanzania Mpaka mwisho tukupatie njia rahisi.
Njia hii Imefanya Kazi Kwa watu Karibu Wote Wanaofuatiliza Masomo Yetu.
MAHITAJI
=>Kompyuta Husika
FAIDA ZA KU FACTORY RESET KOMPYUTA
- Itafanya Kompyuta Yako Kuwa Nyepesi na Kufanya Kazi kwa Ufanisi
- Itatatua Baadhi Ya Matatizo Kama Kompyuta Ku-stuck/Crushe's Kwenye Kompuyuta.
- Itaondoa Setting Ulizokuwa Unashindwa Kuziondoa
- Itapelekea Drvers Zingine Zifanye Kazi Kwenye Kompyuta Yako Kama USB VCOM driver.
HASALA ZAKE.
- Inaweza kufuta data zako kama hutokuwa makini.
- Inachukua muda mrefu kusubiri karibia dakika 20.
ili Kufanikisha Zoezi ili Fuata Hatua Zifuatazo
01. Bonyeza window button + R kwa pamoja.
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
02. Kitakuja Ki-box Cha Run
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
03. Andika ili neno kwenye hicho ki-boz rstrui.exe kisha bonyeza OK
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
04. Ita-load kama sekunde 40 kisha bonyeza Kwenye NEXT Kwa Kuendelea
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
05. Chagua Restore Point Unayotaka kuitumia Kisha Next. Kumbuka kwamba unaweza kuruka hatua ya skanning na bonyeza tu Next, lakini daima ni vyema kuona programu ambazo zitaathirika kabla ya kuanza mchakato.
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
06. Mfumo Utakuuliza Kuhakikisha na Unachokifanya Kwa Kumalizia Kubonyeza Sehemu Ya Finish
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
07. Mfumo wa Ku-restore utakujulisha kuwa mara tu inapoanza, mchakato huu hauwezi kuingiliwa na Mambo mengine . Bonyeza "Yes" kuuruhusu mwenendo huu.
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini
08. Kompyuta Yako itaji-Restart na Kwendelea na Mfumo huu.
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini

ANGALIZO; Kutumia Njia hii Knaweza Kupoteza Data/Taarifa Zako Za Muhimu Kwenye Kompyuta Hivyo ni Muhimu Kufanya Backup Ya Local Disk C:/ Kabla Ya Kuendelea, Sisi Hatuto Husika/Kuwajibika Kwa Upotezaji Huo.
Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kutatua baadhi ya Matatizo Ya Software Kwenye Kompyuta Yako na Kurudisha Ufanisi wa Kazi Wa Kompyuta Kama ilivyo Awali.
Kwa Msaada/Ushauri Wowote Wasiliana na Software Support Tanzania.
ili Kuwa Wa Kwanza Kupata Masomo Yetu
Download App Yetu Playstore hapa Chini
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Softwaresupporttanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/
Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.


