Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Test link

JINSI YA KU-UNLOCK SIMU ZA SAMSUNG ZINAZOTUMIA MTANDAO MMOJA





Habari...

Software Support Tanzania inapenda kuwajuza ni jinsi gani unaweza ku-unlock mtandao kwenye simu za Samsung zinazotumia mtandao mmoja   kwa uharaka,kama Galaxy S6+,S5,S3,J7,J6,J5,J3.J2 Note 5,6 Pia na Simu zaidi ya 100 zinaweza ku-unlockiwa kwa urahisi kwa kutumia Software hii.

ZINGATIA

Software hii inatumika pia..
  1. Ku flash simu za Samsung
  2. Kuondoa frp kwenye simu za Samsung
  3. Inauwezo ku-download Automatically Firmware ya simu husika kwa Kuflashia
  4. Kurudisha imei zilizo corrupt kwenye simu husika
  5. Kuondoa screen lock ya simu n.k
Ni kwaajiri ya Simu za Samsung pekee

             PRICE CODE=5000/Tsh

MUHIMU
  1. Kuwa makini kwenye kila hatua.
  2. Software Support Tanzania hatutohusika kwa uzembe wowote ule na uharibifu wowote.
  3. Tumia Software hii iliyochachuliwa cracked na kujaribiwa na Software Support Tanzania.
  4. Disable Anti virus wako kabla ya kuanza kufanya installation ya Software hiyo

MAHITAJI.
  1. Simu ya Aina ya Samsung inayotumia Mtandao mmoja
  2. Driver za Samsung
  3. Software ya Zx3 iliyokuwa cracked 
  4. Hakikisha Simu yako imekuwa rooted kama bado Bonyeza Hapa kwa Somo la Ku root

ili kufanikisha zoezi ili fuata hatua zifuatazo

HATUA
  1. Download Software ya Zx3 samsung Pro iliyokuwa cracked, DOWNLOAD HAPA
  2. Download Driver za Samsung,DOWNLOAD HAPA   
  3. Extract Software hizo zote mbili ulizozidownload hapo juu kisha install  zote
  4. Fungua icon ya Zx3 Samsung Pro  kwenye Desktop yako kisha Run as Admin.
  5. Nenda kwenye Settings=>About phone=>Build number kisha triple click ilo neno mpaka unonapo ujumbe huu "You are Now Developer" 
  6. Rudi nyuma kwenye Settings ya Simu yako kisha nenda kwenye Developer Option=>Usb debugging na uweke alama ya tick hapo.
  7. Chomeka simu yako kwenye Computer ukiwa umeiwasha
  8. Chagua model ya Simu yako unayohitaji kui-unlock Network  kisha nenda kwenye UNLOCK
  9.  Kisha bonyeza kwenye COM utaiyona simu yako hapo ime-detect ibonyeza.
  10. Nenda kwenye sehemu iliyoandikwa UNLOCK mkono wa  kulia na ubonyeze hapo
  11. Subiria Kama dakika 5 mpaka itakapokwambia UNLOCK DONE

Mpaka hapo utakuwa umefanikisha ku-unlock Mtandao  kwenye simu yako

Download App Yetu hapa Chini
http://www.mediafire.com/file/66js1vkjolpg68s/Software+Support+Tz.apk

USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.


Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA

Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia

Facebook Page: Software support Tanzania

Instagram: Softwaresupporttanzania

Email: softwarestanzania@gmail.com

BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/

Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania

Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.

Post a Comment

NextGen Digital Welcome to WhatsApp chat
Howdy! How can we help you today?
Type here...