Habari...
Software Support Tanzania inapenda kuwajuza ni jinsi gani unaweza ku-unlock Passcode au Screen lock za iphone kwa uharaka pale inapotokea umezisahau kwa urahisi kwa kutumia Software hii.
Iphone Passcode Unlocker cracked by Software Support Tanzania
ZINGATIA
Software hii inatumika pia..
- Kuondoa Tatizo La iPhone is Disable.
- Kutatua Tatizo la Simu za iPhone Kuonesha Mwanga Mweusi pale unapoiwasha.
- Kuondoa (Ku-Bypass) Passcode zilizo sahaulika Kwenye iPhone
- Tatizo la iPhone kujiwasha kwenye iTune Mode Moja Kwa Moja
- Ku update IOS kutoka kwenye Old kwenda kwenye Latest.
- iPhone 4
- iPhone 4S
- iPhone 5
- iPhone 5c
- iPhone 5s
- iPhone 6
- iPhone 6 Plus
- iPhone 6s
- iPhone 6s Plus
- iPhone SE
- iPhone 7
- iPhone 7 Plus
- iPhone 8
- iPhone 8 Plus
PRICE CODE=10,000/Tsh
MUHIMU
- Kuwa makini kwenye kila hatua.
- Software Support Tanzania hatutohusika kwa uzembe wowote ule na uharibifu wowote.
- Tumia Software hii iliyochachuliwa cracked na kujaribiwa na Software Support Tanzania.
- Utakapotumia Software Mbali na tuliyotumia na kutolea maelezo na kuuwa Simu Yako mazima sisi hatutohusika kwa uharibifu Huo.
MAHITAJI.
- Moja kati ya Simu zilizo orodheshwa hapo juu.
- Software ya 4ukey Unlocker iliyokuwa Licensed kutoka kwenye Website Yao
4uKey Unlocker Setup=====> DOWNLOAD HAPA
4uKey Unlocker Activator==> DOWNLOAD HAPA
ili kufanikisha zoezi ili fuata hatua zifuatazo
HATUA
1: Install 4uKey Unlocker tuliyokupatia Hapo Juu.
2.Fungua Software ya 4uKey tuliyokupatia hapo juu baada ya Ku-Install
Utaona Muonekano kama huu
3: Ipeleke Simu Yako kwenye iTune Mode kwa kubonyeza Home Button + Power Button kwa Pamoja.
4.Chomeka Simu Kwenye Kompyuta kwa ktumia Original Usb Cable Software hii ita-detect automatically Simu yako Kisha Bonyeza kwenye ."Start"
Kama inavyoonekana hapa Chini
Kama Simu yako haita detect kwenye Software Hii Fuata hatua zifuatazo kuingia kwenye "Recvoery Mode" Au "DFU Mode" kuifanya isome kwa urahisi.
Picha Jinsi ya Kuingia kwenye "Recvoery Mode" Au "DFU Mode"
Picha Jinsi ya Kuingia kwenye "DFU Mode"
4: Bonyeza Kwenye Download ili ku download Firmware itakayokusaidia kufanikisha Zoezi ili
Au Wasiliana na Software Support Tanzania ili kupata Firmware zilizokuwa Tested kwa Uhakika Zaidi
Kama inavyoonekana kwenye Picha Hapa Chini.

5. Subiria Software imalize ku download

6: Bonyeza "Start Unlocking" ili kuondoa iPhone Locked Screen
Baada ya Kuobonyeza kwenye "Start Unlocking" Software itaendelea kuondoa iPhone passcode kwenye Kifaa chako Muda mfupi.
Kama inavyoonekana Kwenye Picha hapa Chini
7. Endelea kusubiria ukiwa Software ikiendelea kupoteza kukumbukumbu za Passcode file kwenye
Kifaa Chako.
8. Bonyeza kwenye Neno "Done"
Wakati neno la Siri la iPhone limeondolewa kwa mafanikio, unaweza kuanzisha iPhone yako kama mpya, ikiwa ni pamoja na,Touch ID , Face ID settings.ikiwa una iTunes / iCloud Backup iliyopita, unaweza kurejesha iPhone kutoka kwa Backups.
Kama inavyoonekana Kwenye Picha Hapa Chini

Mpaka hapo utakuwa umefanikisha kuondoa Passcode kwenye iPhone yako kwa urahisi na uharaka kwenye Simu kama iPhone 4,4S,5,5S,6,6S,6+,iPhone SE, 7,7Plus,8 na 8Plus.
Kwa Msaada/Ushauri Wowote Wasiliana na Software Support Tanzania.
Download App Yetu hapa Chini
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Softwaresupporttanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
BLOG: http://softwaresupporttz.blogspot.com/
Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau ku-share kwa ndugu, jamaa na marafiki.

