Habari...
Software Support Tanzaniai inapenda kuwajua ni jinsi gani unaweza kufanya App kwenye Simu yako kufunguka kwa haraka
MUHIMU
- Kuwa makini kwenye kila hatua.
- Software Support Tanzania hatutohusika kwa uzembe wowote ule na uharibifu wowote.
MAHITAJI.
- Simu ya Android
- Application inayosumbua kufunguka
NJIA YA KWANZA
Kama tulivyosema unahitajika umakini katika kila hatua.HATUA
- Nenda kwenye Menu ya simu yako
- Nenda kwenye Settings
- Kisha kwenye Apps
- Kisha kwenye All
- Chagua Application inayosumbua kufunguka;
- Kisha bonyeza kwenye CLEAR CACHE
- Kisha bonyeza kwenye CLEAR DATA.
HATUA
- Nenda kwenye Menu ya simu yako
- Nenda kwenye Settings
- Kisha kwenye Storage
- Kisha bonyeza kwenye Cache Data or Saved Data;
- Screen itakuuliza kuhakikisha unataka kufanya zoezi illi utabonyeza OK ili kukubali.
Kama njia zote hapo juu hazitokusaidia, kufanya HARD RESET kwenye simu yako.
Mpaka hapo utakuwa umefanikisha Zoezi illi


