Habari...
Software Support Tanzania inapenda kutoa masomo mbalimbali yanayohusiana na teknolojia za simu na computer na leo tunapenda kujulisha wafuatiliaji wetu kuhusu jinsi ya kuweka APN SETTING kwenye simu yoyote ya Android na kuwezesha kupata Internet kwenye simu.
Hivyo basi ili kufanikisaha zoezi hili fuata hatua zifuatazo
HATUA
- Bonyeza Menu ya simu yako
- Nenda kwenye “Settings”
- Kisha nenda kwenye neno “Wireless Networks” au ''More ''
- Kisha “Mobile Networks”
- Kisha “Access Point Names”
- Kisha bonyeza ; New APN
VODACOM APN SETTING
Name: Vodacom
APN: Internet
AIRTEL APN SETTING
APN: internet
NAME: Airtel
IP-Address: 10.10.09.30
Port:8080
TIGO APN SETTING
Name: Tigo
APN: tigoweb
ZANTEL APN SETTING
Name: Zantel
APN: znet
HALOTEL APN SETTING
Name : Halotel
APN : b internet
Mpaka hapo utakua umefanikisha kupata Internet kwenye simu yako
Asante na endelea kufuatilia BLOG yetu kwa kujifunza mengi zaidi
Download App Yetu hapa Chini
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.
Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Software_support_tanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
Don’t forget to subscribe our BLOG and Youtube channel Software support
Tanzania
Usisahau kushare darasa hili na wenzako wa karibu

