
Habari…
Tumaini langu wote mnaendelea vizuri.Tumepokea maombi mengi kutoka kwa watu wanaofalitia masomo yetu ya online class. Na leo tutafundisha jinsi ya kutengeneza android application na namna utakavyoweza kuiweka Playstore.
Leo tutanza na BLOG APP.
#UTANGULIZI.
I.
Somo hili litakuwa na sehemu nne(Four parts) kwa watu wanaofalitia
kupitia page yetu.
II.
Somo hili litakuwa na sehemu nane( eight parts) kwa wanaofalitilia
kupitia whatsaps group.
III.
Somo hili lina VIDEO ya maelekezo mwanzo mwisho inayofundisha kwa
lugha ya Kiswahili.
IV.
VIDEO hizo zimeandaliwa kwa ubora wa hali ya juu na niyakueleweka.
V.
VIDEO hizo zinapatikana kwa gharama ya @Tsh5000/=
·
Leo tutaanza kufundisha jinsi ya kutengeneza BLOG App.
BLOG App Hii ni Application inayomuweza mfalitiaji wa blog yako kuweza kupata mambo yote yaliyojili kwenye blog yako na kupata updates zote mpya. Mfano wa Blog App kama Millard Ayo App,Mzalendo App,Mwanchi App, Software Support Tanzania App n.k.Leo tutatumia ya Millard ayo kama ya mfano,mbeleni tutajifunza ya kila mtu ilimradi tu uwe na blog.
#MUHIMU.
I.
Ili kuweza kutengeneza Application yoyote ya Android unapaswa
kujua Programming language, official programming language zinazotumika na
ma-developer kwenye kutengeneza android App ni Extensible Markup Language
XML,JAVA na C+++.
II.
Kama unaitaji kujifunza programming language kupitia simu yako
tumia App zifatazo.
Unachoitaji ni Simu yako ya android na App inayoitwa C4droid.
Unachoitaji ni Simu yako ya android na App inayoitwa C4droid.
III.
kwa kutumia app hii unaweza kuprogramme GUI apps kwa kutumia libs
za Qt na SDL.(Kwa wale ma-programmer hapo mmenielewa vizuri)
IV.
pia unaweza kuprogramme CLI app. hii Inasupport c++11.
V.
Pia unaweza kutumia app ya cppdroid.
VI.
SIO lazima uwe na laptop au desktop kujifunza japo ni muhimu Zaidi
kwa PC kuokoa muda.
#MAHITAJI
I.
Mahitaji kwa upande wa Computer
II.
Computer yenye 2GB of RAM.
III.
5GB free space kwenye local disk C.
IV.
32bit or 64bit of Operating System na shauri 64bit ndio nzuri
Zaidi.
Kwa upande wa software
I.
Download Software inatoitwa Android studio latest . Hii ni best
software inayotumika na ma-developer wengi duniani kutengenezea Application za
simu za android pia ata kuiweka playstore., program hii utumika kama IDE’s
(integrated development environment’s).
·
Kuweka Application playstore.
·
Kuondoa App lecense kwenye App yoyote (ku-crack app).
·
Kui-rebuild App code and contents. Mfano App ya whatsapp inasehemu
kuu tatu kabda ya update's.
CALLS-unaweza
kuedit hili neno call ukaweka lolote lile.
STATUS-Unaweza
kuedit hili neno status ukawekaa lolote.
#CONTACTS-Unaweza
kuedit hili neno naukaweka lolote.
Unaweza kuiba code za App na ukaziongezea pamoja na zako na feature’s za ndani (sifundishi uibe HAPANA BALI nisifa ya hii SOFTWARE). mfano.
APP_NAME ni WHATSAPP-unaweza kuedit hili neno ukaweka lolote mfano ICT whatsapp.
Baaada ya hapo unaweza kufanya full App-rebuild ukaisave na ukai-publish playstore kupitia android studio 2.0.1 isipokuwa tu majina yasifane na App original playstore (yakifanan autoweza kuiweka playstore).
Ndiyo mana hivi sasa kuna Application zaidi ya 12 za whatsapp tofauti tofauti kwenye playstore hii yote utokana na maelekezo ya hapo juu.
Lipia kiasi cha Tsh 5,000/= kisha bonyeza link ya ku-Download Software ya Android studio hapo chini
Android studio latest
Download Link Android studio latest
Android studio latest
Download Link Android studio latest
II.
Download Software inayoitwa JAVA .
Hii ni programming language software ambayo ilitengenezwa naJames Gosling mwaka 1991 inayotunika katika utengenezaji wa Application za android(Software hii ufanya kazi ya kuiruhusu android studio kufanya kazi kwenye computer yako).
Usije ukachanganya kwenye ku-download.
Hii ni programming language software ambayo ilitengenezwa naJames Gosling mwaka 1991 inayotunika katika utengenezaji wa Application za android(Software hii ufanya kazi ya kuiruhusu android studio kufanya kazi kwenye computer yako).
Usije ukachanganya kwenye ku-download.
#MUHIMU
1. Java Enterprise Edition (JAVA EE).hii ni aina
ya java isipokuwa utumika kwenye utengenezaji wa network za computer zenye
mifumo mikubwa sana au ya juu.(Ma-network engineering nazani hapo mmenielewa
vizuri).
2. Java Micro Edition(JAVA ME).Hii ni aina ya
java software inayotumika kutengenezea android operating system.(hii inatumika
nawakina Nick sears au google kiujumla kwenye kwenye ku-develop android OS ).
3. Java
Development Kit (JDK).Hii ni aina ya java software inayotumika kwenye
kutengeneza Application za android.(ma-programming engineering tunaelewana sana
hapa)
Hivyo kwa vile sisi tunatengeneza android App tutatumia hii ya tatu JDK
Download hapa JAVA FOR ANDROID APP DEVELOP .
Mpaka hapo utakuwa umemaliza sehemu ya kwanza ya somo ili. Usikose sehemu ya pili,3,4.
Hivyo kwa vile sisi tunatengeneza android App tutatumia hii ya tatu JDK
Download hapa JAVA FOR ANDROID APP DEVELOP .
Mpaka hapo utakuwa umemaliza sehemu ya kwanza ya somo ili. Usikose sehemu ya pili,3,4.
Download App Yetu hapa Chini
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT
TANZANIA
Kwa mawasiliano Zaidi wasiliana
nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: software_support_tanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
Don’t forget to subscribe our BLOG
and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau kushare darasa hili na
wenzako wa karibu
Thanks…..
