
Habari...
Tumaini langu wote mnaendelea vizuri, Leo tutafundisha ni namna gani unaweza kuondoa virus aina ya shortcut kwenye kifaaa chako cha kuifadhia kumbukumbu kama memory card na USB FLASH.
Hii hutokea
pale unaposave vitu kwenye USB flash na unapokuja kuvitazama upya unakutana na
shortcuts tu.
Leo tutafundisha njia 2 na vipindi vijavyo tutafundisha njia 3 zingine nyingine.
Hili kufanikisha zoezi ili fata hatua zifuazo kwa umakini.
Leo tutafundisha njia 2 na vipindi vijavyo tutafundisha njia 3 zingine nyingine.
Hili kufanikisha zoezi ili fata hatua zifuazo kwa umakini.
NJIA YA KWANZA
HATUA
1.
Bonyeza button ya WINDOW bila kuiachia na
button yenye herufi R kwa pamoja(WINDOW+R).
2.
Andika neno
CMD kisha bonyeza ENTER.
3.
Andika LOCAL
DISK ya herufi ya jina la flash yako au memory card mfano M: kisha bonyeza ENTER
4.
Andika dir then ENTER
5.
Andika attrib -h -r -s /s /d M:\*.* then ENTER
(M: hii jina la flash yako)
Hapo utakua umemaliza njia ya kwanza
(M: hii jina la flash yako)
Hapo utakua umemaliza njia ya kwanza
NJIA YA
PILI
HATUA
1.
Bonyeza button ya WINDOW+R kwa pamoja.
2.
Andika neno
NOTEPAD kwenye kibox kitakacho kuja na ubonyez ENTER.
3.
Baada ya
kufungua notepad COPY na U-PASTE hizi code. Au ziandike kama zilivyo.
@echo off
attrib -h -s -r -a /s /d M:*.*
(hii herufi M: ni jina la drive au flash yako kutokana na local disk iliyosoma).
@echo off
attrib -h -s -r -a /s /d M:*.*
(hii herufi M: ni jina la drive au flash yako kutokana na local disk iliyosoma).
Nenda juu upande
wa kushoto kwenye file save as harafu usave kama SST REMOVER.bat na kwenye file
type chagua all files.
Hapo itabadilika na kuwa simple software, ichukue ukaipaste kwenye hiyo flash. Itoe flash na Restart computer yako.
Mpaka hapo utakuwa umefanikisha kuondoa shortcut virus kwenye usb flash yako.
Hapo itabadilika na kuwa simple software, ichukue ukaipaste kwenye hiyo flash. Itoe flash na Restart computer yako.
Mpaka hapo utakuwa umefanikisha kuondoa shortcut virus kwenye usb flash yako.
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
Kwa mawasiliano
Zaidi wasiliana nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Software_support_tanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
Calls: 0657672808
0715575017
Don’t forget to
subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau kushare
darasa hili na wenzako wa karibu
Thanks…..