Tumaini letu kuwa mnaendela vizuri.
Leo tutawafundisha ni jinsi gani unaweza kuchakachua/crack software yoyote ya
window 8 na ukazitumia kama kawaida.
WINDOW 8 ni kiini kikuu cha kompyuta(main operating system) kama zilivyokuwa OS zingine kama window 7,10,XP,Ubuntu,Soft nn. Isipokuwa kitu kikubwa kwenye window 8 ni start screen mpya ambayo imeongezwa kutoka kwenye Window 7, moja ya ongezeko nikwamba softwares nyingi karibu zote zimekuwa designed kwa ajili ya Window 8 tu na hizi software hazipatikani kokote zaidi ya kwenye store ya windows 8. hii imefanya watu wengi wanaopenda mambo ya kuchakachu(Crackers) kuwa ngumu kuweza kuzitumia Software hizo.
MUHIMU
1. Hakikisha
umedissable antivirus yako
2. Hakikisha
pia ume-disconnect Internet kwenye PC yako wakati wa kuinstall Software yako
3. Antvirus wako au window defender anaweza akatambua kama
ni virus lakini usijali we uta ignore tu..
MAHITAJI
1.
Computer
yenye Operating System ya Window 8
HATUA
11.
Hakikisha
Winrar imekuwa installed kwenye PC yako
22.
Download
software yoyote unayoika ya window 8 ila iwe trial.
33.
Download
software ya kuCrack software zote za window 8 kupitia link hii
44. Ukishadownload extract mafile yote kwa kutumia winrar
kwenye folder unalotaka
55.
utapata
mafolder matatu ambayo yameandikwa hivi  ‘wscrack_32’ na ‘wscrack_64’
na ‘wscrack_anycpu’
65.
Fungua
ma-file matatu hayo kulingana na kubwa wa RAM yako na BIT’S za window
uliyoweka kama ni 32bit ingia folder la 32bit ni 64bit ingia kweye folder la
64bit.
76.
Baada ya
kujua bits ya window yako uta itainstall folder husika kwenye window yako.
87.
Baada ya
kuinstall folder husika utarudi nyuma kwenye folder lililo andikwa hivi wscrack_anycpu.
98.
Fungua ilo
folder na install hiyo software kisha utaona softwares zote zilikuwa kwenye
computer yako utatafuta trial ya software unayotaka kuicrack halafu uta-icrack.
1.
Utakuwa
umeweza ku crack software yako kama ni Ant virus n.k
Download App Yetu hapa Chini
USISAHAU KUSHARE MAKALA HII NA WENZIO.
Imeandaliwa na SOFTWARE SUPPORT TANZANIA
Kwa mawasiliano
Zaidi wasiliana nasi kupitia
Facebook Page: Software support Tanzania
Facebook Page: Software support Tanzania
Instagram: Software_support_tanzania
Email: softwarestanzania@gmail.com
Calls: 0657672808
0715575017
Don’t forget to
subscribe our BLOG and Youtube channel Software support Tanzania
Usisahau kushare
darasa hili na wenzako wa karibu
Thanks…..

